UKAWA MWENDO MDUNDO 2015


MWAKA 2015 utakuwa ni mwaka wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa tano wa kidemokrasia nchini Tanzania.


Hii ni kutokana kwa kuungana kwa vyama vinne vya kisiasa vya upinzani ambavyo ni CHADEMA,CUF NLD na NCCR-MAGEUZI.


Kutokana na muungano huo kumefanya umoja huo kuwa na nguvu katika kampeni zake ambazo hujaza watu wengi ambao umemsimamisha Edward Ngoyayi Lowassa kuwa mgombea urais wakati juma Duni Haji akiwa mgombea mwenza akitokea Zanzibar.


Wimbo mkubwa (Sera) za umoja huo ni kuleta mabadiliko kwa watanzania .



During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mwangaza Blog Published.. Blogger Templates
Back To Top